Rais wa Formula one Stefano Domenicali anasema msimu wa Formula one wa mwaka 2026 utaisha barani Ulaya ikiwa mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati utalazimisha mbio mbili za mwisho huko Qatar na Abu Dhabi kuhamishwa. Kutoweza kwa Bahrain kuandaa tukio hilo mwezi Oktoba kumeibua mashaka kuhusu kama raundi mbili za mwisho za msimu - huko Qatar na Abu Dhabi mwezi Novemba na Disemba mtawalia zitaendelea kama ilivyopangwa. Kuna uvumi kwamba msururu wa kihistoria wa Imola wa Italia ndio unaoongoza kuandaa ikiwa itahitajika.



Vipindi vya anga kavu vinashuhudiwa Meru, Isiolo na Marsabit.

Ili kupata habari zaidi tembelea tovuti ya radiojambo.