caption

Tanzanian singer Zuchu has announced that she has ended her relationship with her boss and singer Diamond Platnumz.

Zuchu said they came to the decision after a mutual agreement. The two have been dating for three years.

Check out fans' reactions;

ghostie: Somethings are inevitable like the sun will set today

Enjoying this article? Subscribe for unlimited access to premium sports coverage.
View Plans

Wambui 21: Maandishi haya si mageni jijiniiiii!

I am Maria Kisher: hii ni clout tu wameachana mara mingi sana

Ibrahim snow: Sukari imekuwa pilipili

Adi Moriso: We are not "suprized"

P Mumbi: Ata walijaribu sana kukaa 3 years….was bound to happen…good thing zuchu hajatoka na mtoto Ju WEUH

Holy Ck: Maandishi haya si mageni East Africa

Anko best furniture: Ilikuwa ishakuwa.

Xavier wa mchongoo: Zuchu anamuacha mondi kwa Mwaka mara tatu! 

MCwillygrayson: Healing gani Tena na amesema ni mutual decision .

Rapahel Magambo: Maandishi haya si mageni jijini....Labda kwa mgeni jijini, lla kwa wenyeji wa jiji ni Maandishi tuliyoyazoea

Alice dacuute: Toka limeanza kuvunjika ni mda mrefu sana, vipande vya kuvunja venyewe vimeisha sasa

She is merry: Watupumzishe sasa tumechoka na Kiki zao

Officialine:  uzuri kaka yetu hakuwai kutuambia kama yupo kwenye mahusiano 

Jifunze kilimo: Haya mtuambie hiyo nyimbo mpya mnaachia leo au kesho

Medic msabaha: Walivyo tongozana hatukuona tangazo ,mlivyo kua mnakula raha hatukuona wala hamkutushirikisha mtuache na stress zetu

Official Lulu: Hio nyimbo itakuwa kaliii

Raphael_: Maandishi haya si mageni jijini....Labda kwa mgeni jijini, lla kwa wenyeji wa jiji ni Maandishi tuliyoyazoea