Wabunge wamemtaka aliyekuwa Katibu Mkuu wa KNUT Wilson Sossion kutekeleza sera alizotetea kwa niaba ya walimu, kufuatia kuidhinishwa kwake kama kamishna wa TSC. Walimhimiza kudumisha weledi na kutokuwa na upendeleo katika kutekeleza majukumu yake katika tume hiyo. Sossion aliidhinishwa pamoja na Mkurugenzi wa wafanyikazi katika TSC Antonina Lentoijoni.
VOX POP – SOSSION