Marehemu Gloria Khalwale, mke wa Seneta wa Kakamega Boni Khalwale, anatarajiwa kuzikwa hii leo huko Malinya katika Kaunti Ndogo ya Ikolomani, Kakamega. Mazishi hayo yanatarajiwa kuvutia viongozi wa kisiasa kutoka kambi za serikali na upinzani. Gloria alifariki Jumamosi iliyopita baada ya kupata mshtuko wa moyo.
Advertisement
August 21, 2026
1 min read
Related Topics
Facebook
Loading...
Loading next article...
You've reached the end
Browse all articles
Advertisement
Suggested Articles
Newsletter
Get the latest sports stories delivered straight to your inbox.
Now Playing