Wagombea wote wanaostahili wanaotafuta nafasi za kuchaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka ujao, watajiandikisha na IEBC kati ya Mei tarehe 2 na Juni tarehe 11, mwaka ujao. Tume hiyo inasema wagombea urais watajiwasilisha kwa ajili ya kusajiliwa kati ya Mei tarehe  29 na Juni tarehe 11, 2027.