Wazazi na wanafunzi walioathiriwa na kashfa ya elimu ya Finland ya Sh bilioni 1 walifanya maandamano mjini Eldoret jana, wakitaka kurejeshewa pesa zao. Waandamanaji hao walivamia makao makuu ya Kaunti ya Uasin Gishu wakitaka kukutana na Gavana Jonathan Bii kuhusu kashfa hiyo. Wazazi na wanafunzi hao walikuwa wamebeba mabango yakidai uongozi wa kaunti hiyo kuhakikisha wanarejeshewa pesa zao.
Advertisement
July 28, 2026
1 min read
Related Topics
Facebook
Loading...
Loading next article...
You've reached the end
Browse all articles
Advertisement
Suggested Articles
Newsletter
Get the latest sports stories delivered straight to your inbox.
Now Playing