Polisi wanachunguza tukio ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 60 aliuawa kikatili nje ya nyumba yake katika eneo la Rangwe, kaunti ya Homa Bay. Mwili wa Tobias Ndere ulipatikana nje ya nyumba yake katika kijiji cha Kasure baada ya polisi kujibu ripoti iliyotolewa yapata saa kumi alfajiri Jumatatu. Maafisa wa polisi walitembelea eneo la tukio ambapo waliupata mwili huo ukiwa na majeraha mengi ya kukatwa kichwani na usoni, yanayoaminika kuchomwa na kitu chenye ncha kali. Kulingana na mke wa marehemu, alirudi nyumbani kutoka soko la Randung yapata saa moja unusu usiku Jumapili lakini hakumpata mumewe.
Advertisement
July 22, 2026
1 min read
Related Topics
Facebook
Loading...
Loading next article...
You've reached the end
Browse all articles
Advertisement
Suggested Articles
Newsletter
Get the latest sports stories delivered straight to your inbox.
Now Playing