Tume ya EACC na Mkutano wa Maaskofu Wakikatoliki wa Kenya wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wao ili kukuza uadilifu na kupambana na ufisadi. Kulingana na taarifa ya EACC iliyotolewa baada ya mkutano jijini Nairobi, maafisa wa EACC na ujumbe wa KCCB walisisitiza jukumu muhimu la mashirika ya kidini katika kuunda maadili na kuhamasisha jamii za watu wa mashinani. Taasisi zote mbili ziliahidi kushirikiana katika mipango ya uongozi wa maadili na utawala bora kote nchini.
Advertisement
August 13, 2026
1 min read
Related Topics
Facebook
Loading...
Loading next article...
You've reached the end
Browse all articles
Advertisement
Suggested Articles
SPOTI 10AM 2ND SEPT
1 min
Newsletter
Get the latest sports stories delivered straight to your inbox.
Now Playing