Rais wa LaLiga, Javier Tebas, anadai Gianni Infantino anaharibu kiini cha mpira wa miguu na anaamini wakati wake kama rais wa FIFA umefika mwisho. Infantino amekabiliwa na ukosoaji kufuatia mpango wake ulioshindwa wa kutafuta uwekezaji binafsi katika kampuni ambayo ingeendesha mashindano ya FIFA na kuuza hisa katika Kombe la Dunia kwa wawekezaji binafsi. Licha ya FIFA kusimamisha mipango hiyo na kuomba msamaha kwa vyama vya kitaifa wiki iliyopita, UEFA na Chama cha Soka wamemtaka Infantino ajiuzulu.
Vipindi vya anga kavu vinashuhudiwa Malindi, Garissa na Lamu.
Ili kupata habari zaidi tembelea tovuti ya radiojambo.