Sehemu ya vijana kutoka Nairobi wamewakatisha tamaa wenzao dhidi ya kushiriki katika maandamano yaliyoitishwa na wanasiasa. Vijana wakiongozwa na Beth Kamau wanasema maandamano hayo yamedhoofisha uchumi na kuwataka viongozi kutafuta njia mbadala za kuwasilisha malalamiko yao. VOX POP – VIJANA
Advertisement
July 8, 2026
1 min read
Related Topics
Facebook
Loading...
Loading next article...
You've reached the end
Browse all articles
Advertisement
Newsletter
Get the latest sports stories delivered straight to your inbox.
Now Playing