The Tanzanian film board, which is under the ministry of information, culture, arts and sports has summoned actress Wema Sepetu for indecent dressing.

Sepetu was invited for a party and went dressed in a black-lased bodysuit. 

Board wants the concerned artist, Wema to arrive without fail at the Film Board Offices in Kivukoni - Dar es Salaam on Thursday, 22nd May, 2025 at 10am for an interview.

In a statement, the board wrote;

"MWANATASNIA WEMA ABRAHAM SEPETU UNATAKIWA KUFIKA OFISI ZA BODI YA FILAMU TANZANIA."

Enjoying this article? Subscribe for unlimited access to premium sports coverage.
View Plans

"Bodi ya Filamu ni chombo kilichoundwa kisheria kutengeneza na kulinda taswira ya taifa letu pamoja na kuendeleza sekta ya Filamu nchini. Katika kutimiza majukumu hayo haiwezi kuacha kusimamia masuala ya nidhamu na maadili kwa wanatasnia wetu. Bodi imesikitishwa na picha jongevu zisizokuwa na maadili zilizorushwa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha Mwanatasnia Wema Sepetu akiwa katika mavazi yasiyo na staha. Hivyo, Bodi inamtaka mwanatasnia husika (Wema) kufika bila kukosa katika Ofisi za Bodi ya Filamu zilizopo Kivukoni - Dar es Salaam Siku ya Alhamisi, Tarehe 22 Mei, 2025 Saa Nne Asubuhi kwa ajili ya mahojiano. Bodi ya Filamu Tanzania inaendelea kuwasihi wanatasnia wa Filamu kuendelea kulinda maadili ya nchi yetu katika kazi zao za kitasnia pamoja na mienendo yao kijamii."

This translates too:

"The Film Board is a legally established body to create and protect the image of our nation as well as develop the film industry in the country. In fulfilling these responsibilities, it cannot fail to supervise issues of discipline and ethics for our industry members. The Board is saddened by the immoral and immoral images posted on social media showing the actress Wema Sepetu in immodest clothing. Therefore, the Board requests the actress in question (Wema) to arrive without fail at the Film Board Offices located in Kivukoni - Dar es Salaam on Thursday, May 22, 2025 at 4:00 AM for an interview. The Tanzania Film Board continues to urge the film industry members to continue to protect the values ​​of our country in their artistic work as well as their social behavior."

As of publishing this article, the former model hadn't yet addressed the statement.