George Oduor ametoa huduma za ulinzi kwa familia ya Odinga tangu miaka ya tisini.
caption

George Oduor ambaye amekuwa mlinzi wa lkinara wa uinzani Raila Odinga alifariki Aprili 2, 2025 akipokea matibabu  katika hospitali moja jijini Nairobi. Marehemu Oduor ambaye alikulia mtaa wa Kaloleni Nairobi, alipata mafunzo ya ulinzi wa watu mashuhuri nje na ndani ya nchi.