Sheria Kali Dhidi Ya Wapenzi Ambao Hawajaoana

Klabu ya Al Nassr imekanusha kuwa Duran anaishi nchi tofauti na mpenziwe kutokana na sheria kali dhidi ya wachumba nchini Saudia.

Mataifa haswa yanayofuata sheria za Kiislamu yana sheria kali dhidi ya wapenzi ambao hawajaoana.