Nguvu za Kijeshi katika mataifa ya Afrika

Nguvu za kijeshi hupimwa kwa vipengele kama vile idadi ya wanajeshi, silaha, bajeti ya ulinzi, teknolojia, mafunzo, vifaa na uwezo wa nyuklia.

Mvutano wa kivita kati ya Rwanda na Afrika Kusini uliibuka hivi majuzi kutokana na vita nchini Congo DR.