
Siku ya Jumatano, Mmarekani mwenye asili ya Kenya, Huldah Momanyi Hiltsley aliweka historia kubwa kwa kunyakua kiti katika Baraza la Wawakilishi la Minnesota.
Ushindi huo wa mzaliwa wa kaunti ya Nyamira ulimfanya kuwa mwanasiasa wa kwanza mzaliwa wa Kenya kushinda kiti nchini Marekani.
Read Also
Momanyi alishinda kwa 64.78% ya kura kuwakilisha Wilaya ya 38A ya Minnesota huku akigombea chini ya tiketi ya Chama cha Democratic-Farmer-Labor (DFL).
Enjoying this article?
Subscribe for unlimited access to premium sports coverage.
View Plans
Comments 0
Sign in to join the conversation
Sign In Create AccountNo comments yet. Be the first to share your thoughts!