Licha ya kufana katika kuchezea vilabu na mataifa yao, wachezaji kama vile Victor Bonface wa Bayer Leverkusen na Nigeria, Mohmed Salah wa Liverpool na Misri, Nicolas Jackson wa Chelsea na Senegal, Andre Onana wa Man Utd na Cameroon, Mohamed Kudus wa Ghana na WestHam, wote walitemwa nje.

Victor Bonface na Nicolas Jackson tayari wameonyesha kutoridhishwa kwao kwa kutumia lugha ya mafumbo kupitia kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii