Hii hapa ni orodha timilifu ya mawakili wanaomwakilisha Rigathi Gachagua mahakamani katika kesi ya kupinga kubanduliwa kwake.

Gachagua alibanduliwa ofisini wiki iliyopita baada ya maseneta wengi kupiga kura ya kutimuliwa kwake.

Baada ya kubanduliwa, alihamia mahakamani kupinga hatua hiyo.